Posted by newstz.blogspot.com
0
comments»
Showing posts with label mpanda. Show all posts
Showing posts with label mpanda. Show all posts

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri mkuu Mizengo Pinda wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wawekezaji na mabalozi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi hapa nchini muda mfupi baada ya Rais Kikwete kufungua kongamano la uwekezaji katika ukanda wa ziwa Tanganyika huko Mpanda mkoani Rukwa lao mchana.
(picha na Freddy Maro).
Posted by newstz.blogspot.com
0
comments»
Rais Dk. Jakaya Kikwete akisaliaiana na Waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda, mara baada ya kuwasilia katika uwanja wa ndege wa Mpanda leo asubuhi, tayari kwa kufungua mkutano wa uwekezaji katika ukanda wa ziwa Tanzaganyika mikoa ya Rukwa, Katavi na Kigoma unaohudhuriwa na Mabalozi, maofisa wa serikali na wafanyabiashara pamoja na wawekezaji wa ndani na wa nje ya nchi, mkutano huo hivi sasa unaendelea kwenye ukumbi wa idara ya maji mjini Mpanda. Mpaka sasa Rais tayari ameshaingia ukumbini na anaendelea na hotuba yake ya ufunguzi matukio zaidi ya ufunguzi wa mkutano huo yatawajia baada ya muda, katika picha kulia anayeshuhudia ni Mkuu wa mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya.
Rais Jakaya Kikwete akilakiwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Mkuu wa mkoa wa Rukwa Injini Stella Manyanya, mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mpanda.
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Waziri wa Uchukuzi Omar Nundu wakati alipowasili katika uwanja wa ndege wa Mpanda.
Wageni mbalimbali wakiwemo mabalozi pamoja na wawekezaji wakiwasili katika uwanja wa ndege wa Mpanda.Picha na habari kwa hisani ya Full Shangwe Blog
Posted by newstz.blogspot.com
0
comments»
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua madini yanayochimbwa Mpanda wakati alipotembelea banda la TPM MINING COMPANY LIMITED katika maonyesho yatakayoambatana na uzinduzi wa mkutano wa uwekezaji unaotarajiwa kufunhuliwa na Rais Jakaya Kikwete Mjini Mpanda October 17,2011.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Posted by newstz.blogspot.com
0
comments»





