Showing posts with label nyerere. Show all posts
Showing posts with label nyerere. Show all posts

SHEREHE ZA KUWASHA MWENGE WA UHURU NA KUMBUKUMBU YA BABA WA TAIFA KIJIJINI BUTIAMA LEO


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Mwenge wa uhuru kiongozi wa mbia za mwenge huo mwaka 2011 2012 Mtumwa Rashid Halfan kutoka mkoa wa kaskazini Unguja, kwa ajili ya kuanza mbio za kukimbiza katika mikoa yote ua Tanzania baada ya kuuwasha rasmi leo katika kijiji cha Butiama Mkoani Mara.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka shada la mauwa kwenye Kaburi la Hayati Baba wa Taifa Mwalim Julius Nyerere baada ya misa maalum ya kumkumbuka muasisi huyo Taifa la Tanzania iliyofanyika leo kijijini kwake Mwitongo Butiama.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muunganowa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzinduwa kanuni za sheria ya Filamu na Michezo ya kuigiza iliyoambatana na maadhimisho ya miaka 50 Uhuru wa Tanzania Bara zilizofanyika jana katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mara. Kulia Waziri wa Habari utamaduni na Michezo Mhe. Dkt Emanuel Nchimbi na kushoto ni Naibu waziri katika wizara hiyo Dkt Fenella Mukangara


Mwandishi wa Habari na mpiga picha mwandamizi wa Idara ya Habari Maelezo Bi. Anna Itenda, kwa niaba ya waandishi wa habari wa Tanzania, akiweka shada la mauwa katika kaburi la Baba wa Taifa Hayati Mwalim Julius Nyerere wakati wa misa maalum ya kumkumbuka muasisi wa Taifa la Tanzania iliyofanyika jana kijijini Mwintongo Butiama.
[ Read More ]

Posted by newstz.blogspot.com 0 comments»

KILELE CHA UWT NA MIAKA 50 YA UHURU NA KUMBUKBMU YA MWL NYERERE-MUSOMA

Baadhi ya mabango yenye ujumbe yakionyeshwa katika kilele Tarime


Hawa ni baaddi ya waasisi wa UWT


Karibu tena Mama yetu Mkoani Musoma- Mbunge viti maalumu Mkoa wa Mara Rosemary Kirigini baada ya kualizika sherehe Tarime


katibu Mkuu wa UWT Amina Makillagi (shoto) akimtambulisha muasisi Dr, Msimu Abdulrahman Hassan.


Kikundi cha kwaya ya Chuo cha ualimu Tarime


Mama Karume (shoto) na Mama Salma Kikwete wakiwaaga UWT babada ya kumalizika sherehe Tarime za UWT Kitaifa



Muasisi wa UWT Zanzibar Mama Fatma Karume akionyesha Tuzo yake baada kutunikiwa


Muasisi wa UWT Zanzibar Mama Fatma Karume (kulia) na Mama Kikwete wakifurahia maonyesho ya wajasiriamali Tarime.
Picha zote na Mwanakombo Jumaa - MAELEZO
[ Read More ]

Posted by newstz.blogspot.com 0 comments»

Mwalimu Nyerere akihutubia Mei Mosi mwaka 1995 Mjini Mbeya

[ Read More ]

Posted by newstz.blogspot.com 0 comments»