Showing posts with label ziara. Show all posts
Showing posts with label ziara. Show all posts

RAIS KIKWETE AMWANDALIA PRINCE CHARLES NA MKEWE DUCHESS OF CORNWALL DHIFA YA KITAIFA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM USIKU WA JANA


Rais Dkt Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwa na wageni wao Prince Charles na mkewe Duchess of Conrnwall katika dhifa ya kitaifa waliyowaandalia usiku huu Ikulu jijini Dar es salaam


Rais Dkt Jakaya Kikwete akisoma hotuba


Makofi baada ya hotuba ya Rais


Prince Charles akisoma hotuba yake


Prince Charles akisalimiana na binti ya Rais Jakaya Kikwete.


Duchess of Cornwall na Prince Charles wakiangalia zawadi waliyopewa na Mama Salma Kikwete


Rais Dkt Jakaya Kikwete akitoa zawadi ya kinyago ch ‘Ujamaa’ kwa wageni wake


Prince Charles na mkewe nao wakitoa zawadi kwa wenyeji wao
[ Read More ]

Posted by newstz.blogspot.com 0 comments»

ZIARA YA PRINCE CHARLES JIJINI DAR


Mtoto wa Malkia wa Uingereza Prince Charles akiongea na Afisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania wakati wa maonyesho ya operesheni za Majeshi Ya kulinda amani ya Umoja wa Mataifa, Makoo Makuu Ya Jeshi, Jana .


Mwana wa Kifalme akiongea na wadau waliohudhuria semina ya WORLD WILDLIFE FUND ON SUSTAINABLE FISHERIES AND COMMUCNITY BASED MANAGEMENT OF FISHERIES RESOURCES IN TANZANIA. Mwana wa Kifalme ni Rais wa WWF huko UINGEREZA


Mwana wa Kifalme akimsikiliza Mhandisi wa Water Aid, Bw Herbert Kashilila akielezea mambo mabli mbali kuhusu mafanikio ya mpango huo na jinsi wananchi wanavyo faidika.



Mwana wa Kifalme akiambiwa jambo na Mkurugenzi Maritime Safety and Security, kapteni King Chiragi ndani ya ofisi za ofisi hiyo.
[ Read More ]

Posted by newstz.blogspot.com 0 comments»

KAMATI YA BUNGE YA FEDHA NA UCHUMI YAFANYA ZIARA MKOANI TANGA


Mwengekiti wa kamati ya bunge ya fedha na uchumi,Abdala Kigodo (katikati) akieleza jambo kwenye ofisi ya TRA Tanga walipofanya ziara mkoani hapo. kulia ni katibu wa kamati,Maiko Kadebe na kushoto ni Kamishina wa forodha,Walid Juma.
Kamati ya bunge ya fedha na uchumi ikichangishana fedha za kusaidia ujenzi wa ofisi ya wajasiliamali walemavu wa viungo wa Mwamboni mkoani Tanga.kutoka kulia ni mwenyekiti wa kamati hiyo,Abdala Kigoda wa pili mjumbe wa kamati hiyo Dr. William Mgimwa na watatu ni Richard Ndassa mjumbe wa kamati hiyo pia.
Mjumbe wa kamati ya bunge ya fedha na uchumi,mbunge wa jimbo la Magogoni Pemba,Kombo Khamis Kombo akiongesha kiatu kilichotengenezwa na kikundi cha wajasiliamali walemavu cha Mwamboni mkoani Tanga.kushoto ni Mwengekiti wa kamati hiyo,Abdala Kigoda na kulia ni mwenyekiti wa walemavu,Ally Shekuwe walipofanya ziara mkoani hapo hivi karibuni.
Mwenyekiti wa kikundi cha wajasiliamali cha Mwamboni mkoani Tanga,Ally Shekuwe kushoto akiteta jambo na mjasiliamali wa bidhaa za viatu Jackson Kingusa baada ya kupokea zaidi ya shs. laki tatu kutoka kwa kamati ya bunge ya fedha na uchumi za kukarabati ofisi hiyo ilipofanya ziara mkoani hapo
Benk ya NMB tawi la Madaraka mkoani Tanga limegawa fimbo 30 zenye thamani ya Shs. laki sita na arobaini kwachama cha walemavu wasioona mkoani Tanga
Kamati ya bunge ya fedha na uchumi ikitoka kuzuru jengo la bandari ya Tanga ikiwa ni sehemu ya ziara yao mkoani humo.
Jeshi la Polisi mkoani Tanga linavyo kabiliana na madereva wa pikipiki maalufu kama bodaboda kwa kubeba abiria wengi kinyume na utaratibu yaani mishikaki .
[ Read More ]

Posted by newstz.blogspot.com 0 comments»