Posted by newstz.blogspot.com
0
comments»
Showing posts with label Rahma swai. Show all posts
Showing posts with label Rahma swai. Show all posts
Kuna taarifa za kusikitisha za kufariki kwa Miss Mtwara aitwaye Rahma Swai. Bi Rahma Swai amekumbana na umauti wakati alipokuwa hospitali akitibiwa. Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali ya mkoa ya Mtwara-Ligula wakati taratibu zingine zikiendelea. Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN
CHANZO: Mtwarakumekucha blog
Posted by newstz.blogspot.com
0
comments»