TASWIRA BUNGENI:



Mbunge wa Mbeya mjini (Chadema) Joseph Mbilinyi akibadilishana mawazo na Mbunge wa Nkenge (CCM) Bi. Asumpter Mshama nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo mara baada ya kumalizika kwa kipindi cha maswali na majibu.

Categories: