Showing posts with label MIAKA 50 ya UDSM. Show all posts
Showing posts with label MIAKA 50 ya UDSM. Show all posts

MAKAMU WA RAIS MGENI RASMI MAADHIMISHO YA KILELE CHA MIAKA 50 YA KITIVO CHA SHERIA/ CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM



 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati wa Kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam tangu kilipoanzishwa mwaka 1961. Sherehe hizo zimefanyika leo Oktoba 22, katika Ukumbi wa Nkrumah  Chuo Kikuu jijini. 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi tuzo mmoja wa wanafunzi wa Sheria waliosoma katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, wakati wa Kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo hicho tangu kilipoanzishwa mwaka 1961, zilizofanyika Chuoni hapo jijini Dar es Salaam

 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi tuzo mmoja wa wanafunzi wa Sheria waliosoma katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Naibu Katibu MKuu wa Umoja wa Mataifa, Dkt. Asharose Migiro, wakati wa Kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo hicho tangu kilipoanzishwa mwaka 1961, zilizofanyika Chuoni hapo jijini Dar es Salaam leo
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi tuzo mmoja wa wanafunzi wa Sheria waliosoma katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Jaji Mkuu wa Tanzania Mohammed Chande Othman, wakati wa Kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo hicho tangu kilipoanzishwa mwaka 1961, zilizofanyika Chuoni hapo jijini Dar es Salaam leo

 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi tuzo mmoja wa wanafunzi wa kwanza wa kike wa Taaluma ya Sheria katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Jaji Mstaafu Julie Manning, wakati wa Kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo hicho tangu kilipoanzishwa mwaka 1961, zilizofanyika Chuoni hapo jijini Dar es Salaam leo
 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi tuzo mmoja wa wanafunzi wa Sheria waliosoma katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Waziri Afrika Mashariki, Samuel Sitta, wakati wa Kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo hicho tangu kilipoanzishwa mwaka 1961, zilizofanyika Chuoni hapo
 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi wa Kitivo cha Sheria, baada ya kutoa tuzo kwa baadhi ya wanafunzi wa zamani wa Taaluma ya Sheria waliosoma katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi wa Kitivo cha Sheria, baada ya kutoa tuzo kwa baadhi ya wanafunzi wa zamani wa Taaluma ya Sheria waliosoma katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi tuzo mmoja wa wanafunzi wa kwanza wa Taaluma ya Sheria waliosoma katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Bw. Miruka Owuor, kutoka nchini Kenya, wakati wa Kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo hicho tangu kilipoanzishwa mwaka 1961, zilizofanyika Chuoni hapo
[ Read More ]

Posted by newstz.blogspot.com 0 comments»

RAIS KIKWETE ATUNUKIWA PHD YA SHERIA UDSM WAKATI RAIS MUSEVENI AMETUNUKIWA PHD YA FASIHI PAPO HAPO



[ Read More ]

Posted by newstz.blogspot.com 0 comments»

JK NA MUSEVENI WAONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UDSM

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mgeni wake Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda wakiingia katika ukumbi wa Nkurumah kuhudhuria maadhimisho ya miaka 50 tangua kuanzishwa kwa chuo kikuu cha Dar es Salaam.Kushoto ni Mkuu wa Chuo hicho Balozi Fulgence Kazaura na kulia ni Makamu mkuu wa chuo hicho profesa Rwekaza Mukandala


 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika sherehe za kilele cha kuadhimisha miaka hamsini 50 ya kuanzishwa kwa chuo kikuu cha Dar es Salaam zilizofanyika katika ukumbi wa Nkurumah jijini Dar es Salaam. Picha na mdau  Freddy Maro wa Ikulu



[ Read More ]

Posted by newstz.blogspot.com 0 comments»