BASATA YAWATAKA WASANII KUJITAMBUA

Meneja Mzalishaji wa Kundi la Vichekesho la Orijino Komedi, Sekion David ‘Seki’ (aliyesimama) akiongea na wadau wa Jukwaa la Sanaa wiki kwenye Ukumbi wa BASATA.Wengine kutoka kulia ni Kaimu Mratibu wa Jukwaa hilo, Aristide Kwizela, Msanii Lucas Mhavile ‘Joti’ na Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti, Mafunzo na Habari, BASATA Godfrey Mungereza.


Msanii wa Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhavile ‘Joti’ akisisitza jambo wakati akizungumzia Changamoto anazokumbana nazo kwenye Sanaa ya Vichekesho anayoifanya.


Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti, Mafunzo na Habari, BASATA Godfrey Mungereza akieleza juu ya haja ya wasanii kujitambua na kuthamini kazi zao kwenye Jukwaa la Sanaa wiki hii.


Mdau kutoka Chama Cha Muziki wa Dansi nchini na mshauri wa masuala ya Hakimiliki Francis Kaswahili akishauri masuala mbalimbali kuhusu hakimiliki na shiriki kwenye kazi za Sanaa.


Sehemu ya wadau wa Sanaa waliohudhuria kwenye Jukwaa la Sanaa wiki hii.

Categories: ,