KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM JANA MJINI DODOMA

Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, kutoka kushoto: Mheshimiwa Sophia Simba,Capt John Chiligati na January Makamba wakiteta jambo ndani ya ukumbi wa CCM wa White House kabla ya kuanza kwa kikao chao jana.


Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM wakiwa ndani ya ukumbi wa CCM wa White House Mjini Dodoma jana.

Categories: