WATAALAMU WAENDELEA KUBORESHA MUSWADA WA KATIBA MPYA



Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (kulia) akitoa ushauri wa kitaalamu na uzoefu kwenye Kamati ya Sheria, Katiba na Utawala wakati wa mjadala wa Muswada wa Sheria ya Katiba ya Mwaka 2011 ambapo mwanasheria huyo mkongwe amewataka watanzania wote kwa ujumla kuwa kitu kimoja katika jambo hili.Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria, Katiba na Utawala,Mh. Pindi Chana 




                                                 



Wajumbe na wataalam mbalimbali wa Kamati ya Sherai, Katiba na Utawala, Kamati ya Mashirika ya Umma, Kamati ya Fedha za Serikali za Mitaa na Kamati ya Hesabu za Serikali wakiwa katika mijadala mikali-mikali leo.Picha zote na Prosper Minja-Bunge.

Categories: