Wasanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Gangwe Mob, likiongozwa na Inspekta Haroun pamoja na Luteni Karama wakikamua vilivyo mbele ya mashabiki kibao waliojitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya mchana huu.
Wakazi wa Mbeya ni shangwe kwa kwenda mbele wakifuatilia makamuzi ya wasanii mbalimbali.
Wasanii wa kundi la Uswahilini Matola wakikamua hivi sasa kwenye jukwaa ndani ya Uwanja wa Sokoine.
Mmoja wa wasanii kutoka kundi la LWP,akiwapagawisha wakazi wa jiji la Mbeya waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha la Bongo 50,linadhaminiwa na kampuni ya simu ya mikononi ya Airtel.
watu kibaoo afu ndioo kwaanza makamuzi yanaanza.
Categories: