MJADALA WA ELIMU NDANI YA TAASISI YA VITABU (SOMA BOOK CAFE)


Waandaaji wakifuatilia kwa makini:
Hobokela Magale wa BSAT na Demere Kitunga wa Mkahawa wa Vitabu Soma (Soma Book Cafe)


Mgeni Rasmi, Marystella Maufi Wassenge kutoka Wizara ya Elimu, akilisemea suala la kufuta ujinga - kulia ni Walter Bgoya wa Mkuki na Nyota, kushoto ni Hobokela Magale wa BSAT


Mwanamuziki Rafiki (wa Elimu): Joseph Payne akiimba na kucharaza nyuzi za gitaa


Vitabu vilivyokwishatumika vikiuzwa kwa ajili ya kutunisha Mfuko wa Kampeni ya Kufuta Ujinga


Mandhari ya Mkahawa wa Vitabu Soma

Categories: