Showing posts with label Mkuu wa Mkoa wa Morogoro. Show all posts
Showing posts with label Mkuu wa Mkoa wa Morogoro. Show all posts

MKUU WA MKOA WA MOROGORO ATEMBELEA MGODI WA KUZALISHA UMEME WA BWAWA LA KIHANSI


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ( aliyekaa kwenye kiti) akioneshwa sehemu inayokontroo masuala mbalimbali ya umeme baada ya kuvuliwa na kuingia kwenye gridi ya taifa kutoka mgodi wa kuzalisha umeme wa Bwawa la Kihansi, kutoka kwa Msimamizi mwandamizi wa uwezeshaji na usimamizi wa mfumo wa kompyuta , Christopher Mahundi (mwenye rula ) juu ya usimamizi wa matukio mbalimbali ndani ya mgodi huo Oktoba 14, mwaka huu.Picha na John Nditi.
[ Read More ]

Posted by newstz.blogspot.com 0 comments»