Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ( aliyekaa kwenye kiti) akioneshwa sehemu inayokontroo masuala mbalimbali ya umeme baada ya kuvuliwa na kuingia kwenye gridi ya taifa kutoka mgodi wa kuzalisha umeme wa Bwawa la Kihansi, kutoka kwa Msimamizi mwandamizi wa uwezeshaji na usimamizi wa mfumo wa kompyuta , Christopher Mahundi (mwenye rula ) juu ya usimamizi wa matukio mbalimbali ndani ya mgodi huo Oktoba 14, mwaka huu.Picha na John Nditi.
Categories:
joel bendera,
Mkuu wa Mkoa,
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro