WAZIRI MKUU AONGOZA HARAMBEE YA SIKU YA MAVUNO KWENYE KANISA LA MTAKATIFU PETRO JIJINI DAR



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na watoto baada ya kuongoza harambee ya siku ya mavuno kwenye kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es salaam leo.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na watoto waliochangia katika harambee ya siku ya mavuno ya kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es salaam leo. Kushoto kwake ni paroko wa kanisa hilo,Padri Joseph Mosha. (Picha na Ofii ya Waziri Mkuu)

Categories: