Picha hazipo Clear sana kutokana na Mabomu kuwa Mengi wananchi wanaziba barabara kuzuia Magari yasipite
Maeneo ya Ilomba wananchi Bado wanafunga Barabara
Wananchi wamechoma matairi kuzuia usafiri wa aina yoyote usiwepo
Hapa ni Mamajoni ambapo Bara bara zimefungwa