BARABARA ZA MBEYA ZAFUNGWA NA WANANCHI, JESHI LAINGILIA KATI, RISASI ZASIKIKA MCHANA HUU

 Picha hazipo Clear sana kutokana na Mabomu kuwa Mengi wananchi wanaziba barabara kuzuia Magari yasipite 
 Maeneo ya Ilomba wananchi Bado wanafunga Barabara 
 Wananchi wamechoma matairi kuzuia usafiri wa aina yoyote usiwepo
Hapa ni Mamajoni ambapo Bara bara zimefungwa

Categories: