Lori la mizigo namba T190 AKW likiwa limebeba mitambo ya kutengeneza barabara likitoka Engaruka kwenda Arusha.
Mwili wa marehemu Samweli Julius ambaye alikuwa ni msaidizi wa mitambo ya kutengeza barabara, ukiwa umenasa juu ya mti.
Polisi wakatoa idhini sasa ya mwili wa Samweli kutolewa katika eneo ulipopatikana.
Categories:
MAAFA MONDULI