TAARIFA: MKURUGENZI MKUU KUONGELEA MIKOPO YA BENKI NA NYUMBA ZA NHC


MIKOPO YA NYUMBA KUPITIA MABENKI
Siku ya ijumaa ya tarehe 11/11/2011 Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemiah Kyando Mchechu akishirikiana na wataalam wa masuala ya mikopo ya nyumba watashiriki katika kipindi cha KIPIMA JOTOsaa 3.00 usiku mpaka 4.00 usiku kinachorushwa na kituo cha ITV.

Kipindi kama hicho pia kitarushwa na TBC1 kwa lugha ya kiingereza kupitia kipindi cha “THIS WEEK IN PERSPECTIVE” siku hiyo hiyi ya Ijuma kuanzia saa 3.00 usiku mpaka 4.00 usiku. Ni matarajio yetu kuwa vipindi hivyo vitatoa elimu ya kutosha kuhusu mikopo ya nyumba ambayo inatolewa na mabenki hapa nchini.

Wote mnakaribishwa kuangalia vipindi hivyo.

Categories: