Showing posts with label katavi. Show all posts
Showing posts with label katavi. Show all posts

PINDA NA WATALII MBUGANI KATAVI


 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Watalii kutoka Switzerland, Rolv (katikati ) na Erica kwenye Hifadhi ya Taifa ya Katavi wakati alipokagua athari za kiangazi kwenye hifadhi hiyo. Picha na mdau Hilary Bujiku wa PMO
 

[ Read More ]

Posted by newstz.blogspot.com 0 comments»

WAZIRI MKUU PINDA NDANI YA HIFADHI YA KATAVI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama tembo wakati aliposimama kwa muda kwenye Lodge ya Katuma Bush katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi wilayani Mpanda wakati alipoitembelea kukagua athari za kiangazi kwenye Hifadhi hiyo Oktoba 20,2011.
Waziri Mkuu, Mizengo PInda akizama viboko waliosongamana kwenye tope baada ya mabwa na mito kukauka kuftokana na Kiangazi kwenye Hifadhi ya Taifa ya Katavi wilayani Mpanda Oktoba 20,2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

[ Read More ]

Posted by newstz.blogspot.com 0 comments»