WAZIRI MKUU PINDA NDANI YA HIFADHI YA KATAVI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama tembo wakati aliposimama kwa muda kwenye Lodge ya Katuma Bush katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi wilayani Mpanda wakati alipoitembelea kukagua athari za kiangazi kwenye Hifadhi hiyo Oktoba 20,2011.
Waziri Mkuu, Mizengo PInda akizama viboko waliosongamana kwenye tope baada ya mabwa na mito kukauka kuftokana na Kiangazi kwenye Hifadhi ya Taifa ya Katavi wilayani Mpanda Oktoba 20,2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Categories: , ,