PINDA NA WATALII MBUGANI KATAVI


 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Watalii kutoka Switzerland, Rolv (katikati ) na Erica kwenye Hifadhi ya Taifa ya Katavi wakati alipokagua athari za kiangazi kwenye hifadhi hiyo. Picha na mdau Hilary Bujiku wa PMO
 

Categories: , ,