BASI LA DELUX COACH LILIVYOTEKETEA KWA MOTO


Watu zaidi ya 20 wanahofiwa kufa baada ya basi la Delux Coach lenye namba za usajili T 334 AAD lililokuwa likitoka Dar es Salaam kwenda Dodoma kupasuka tairi la mbele kulia, kupinduka na kushika moto kwa zaidi ya saa tatu likiwa eneo la Misugusugu mkoani Pwani jana. Video hapo juu inaonyesha basi hilo likiteketea kwa moto 

Categories: ,