Rais Jakaya Kikwete akiweka udongo katika kaburi la marehemu Juma Penza, mwandishi mkongwe na kada wa CCM aliefariki dunia Jumatano usiku katika hospitali ya Hindu Mandal baada ya kuugua
Rais Kikwete akiwa na baadhi ya wajukuu wa marehemu
Waombolezaji wakipokezana katika kuzika
Nape Nnauye akiwa mazikoni
Meya wa Ilala Mstahiki Jerry Silaa akishiriki katika mazishi
Naibu Mwenyekiti wa CCM (bara) Mh John Chiligati akiweka udongo kaburini
Mzee Athumani Janguo akimzika rafiki yake
Rais Kikwete akiweka mchanga kaburini
Categories:
jakaya kikwete,
Juma Penza,
Mazishi,
Rais