JK AONGOZA MAMIA KATIKA MAZISHI YA MAREHEMU JUMA PENZA


Rais Jakaya Kikwete akiweka udongo katika kaburi la marehemu Juma Penza, mwandishi mkongwe na kada wa CCM aliefariki dunia Jumatano usiku katika hospitali ya Hindu Mandal baada ya kuugua


Rais Kikwete akiwa na baadhi ya wajukuu wa marehemu


Waombolezaji wakipokezana katika kuzika


Nape Nnauye akiwa mazikoni


Meya wa Ilala Mstahiki Jerry Silaa akishiriki katika mazishi


Naibu Mwenyekiti wa CCM (bara) Mh John Chiligati akiweka udongo kaburini


Mzee Athumani Janguo akimzika rafiki yake


Rais Kikwete akiweka mchanga kaburini