Baadhi ya mabango yenye ujumbe yakionyeshwa katika kilele Tarime
Hawa ni baaddi ya waasisi wa UWT
Karibu tena Mama yetu Mkoani Musoma- Mbunge viti maalumu Mkoa wa Mara Rosemary Kirigini baada ya kualizika sherehe Tarime
katibu Mkuu wa UWT Amina Makillagi (shoto) akimtambulisha muasisi Dr, Msimu Abdulrahman Hassan.
Kikundi cha kwaya ya Chuo cha ualimu Tarime
Mama Karume (shoto) na Mama Salma Kikwete wakiwaaga UWT babada ya kumalizika sherehe Tarime za UWT Kitaifa
Muasisi wa UWT Zanzibar Mama Fatma Karume akionyesha Tuzo yake baada kutunikiwa
Muasisi wa UWT Zanzibar Mama Fatma Karume (kulia) na Mama Kikwete wakifurahia maonyesho ya wajasiriamali Tarime.
Picha zote na Mwanakombo Jumaa - MAELEZO
Categories:
miaka 50 ya uhuru,
nyerere,
UWT