KILELE CHA UWT NA MIAKA 50 YA UHURU NA KUMBUKBMU YA MWL NYERERE-MUSOMA

Baadhi ya mabango yenye ujumbe yakionyeshwa katika kilele Tarime


Hawa ni baaddi ya waasisi wa UWT


Karibu tena Mama yetu Mkoani Musoma- Mbunge viti maalumu Mkoa wa Mara Rosemary Kirigini baada ya kualizika sherehe Tarime


katibu Mkuu wa UWT Amina Makillagi (shoto) akimtambulisha muasisi Dr, Msimu Abdulrahman Hassan.


Kikundi cha kwaya ya Chuo cha ualimu Tarime


Mama Karume (shoto) na Mama Salma Kikwete wakiwaaga UWT babada ya kumalizika sherehe Tarime za UWT Kitaifa



Muasisi wa UWT Zanzibar Mama Fatma Karume akionyesha Tuzo yake baada kutunikiwa


Muasisi wa UWT Zanzibar Mama Fatma Karume (kulia) na Mama Kikwete wakifurahia maonyesho ya wajasiriamali Tarime.
Picha zote na Mwanakombo Jumaa - MAELEZO

Categories: , ,