VITUKO VYA MCHANA HUU JININI MBEYA


Vijana ambao hawakuweza kujulikana majina yao wakianza kuzichapa kavukavu kisa sh 500 wanaodaiana


Sasa wamekamatana na kutwangana makonde


Jamaa wakijaribu kuwaamulia na inashindikana


Pambano linaendelea


Jamaa washatumbukizana kwenye mtaro


Ugomvi hauishi nimeamua kuendelea na safari yangu


Picha na Mbeya yetu blog

Categories: