MH. LOWASSA ACHANGISHA MIL 200 UJENZI WA KANISA KATOLIKI NYAKATO,MWANZA


Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akihutubia waumini wa kanisa Katoliki Parokia ya Nyakato Jimbo Kuu la Mwanza jana kabla ya kuendesha haranbee ya kuchangia ujenzi wa kanisa hilo kubwa kuliko yote Kanda ya Ziwa ujenzi ambao utagharimu kiasi cha shilingi milioni 700.Litakuwa na uwezo wa kuchukua waumini 3000 kwa wakati.Katika harambee hiyo zilikusanywa shilingi milioni 200 ikiwa ni zaidi ya mahitaji ya shilingi milioni 120.



Mjumbe wa Halmashauri Kuu wa CCM Mkoa wa Mara, Mh. Christopher Mwita Gachuma (katikati) akiteta jambo na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa muda mfupi kabla ya kuendesha harambee ya ujenzi wa kanisa, kushoto ni aliekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani,Mh. Lawrance Masha.

Mjumbe wa Halmashauri Kuu wa CCM Mkoa wa Mara, Mh. Christopher Mwita Gachuma (katikati) akiteta jambo na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa muda mfupi kabla ya kuendesha harambee ya ujenzi wa kanisa, kushoto ni aliekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani,Mh. Lawrance Masha.



Categories: ,