KAMANDA wa Vijana Kata ya Kivukoni, Dar es Salaam, Sharik Choughule, akitia saini kitabu cha kumbukumbu ya miaka 12 ya kifo cha Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam.
KATIBU wa Siasa na Uenezi tawi la CCM, Mchafukoge, akimkumbuka Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere.
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akitia saini kitabu cha kumbukumbu ya miaka 12 ya kifo cha Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam.